Thursday, May 30, 2019

Baadhi ya Wakurugenzi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar wakiwapa hongera Waziri wao Mhe Riziki Pembe Juma na Naibu Waziri Mhe Simai Mohammed Said, mara baada ya kuwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2019-2020 katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment