Thursday, May 30, 2019



Naibu Waziri wa Afya Mhe Harusi Said Suleiman akisikiliza muendelezo wa mashindano ya kuhifadhi Qur-aan, ambapo alifika kwa niaba ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma, yaliyofanyika katika msikiti wa Ijitimai Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja.

No comments:

Post a Comment