Thursday, May 30, 2019

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma (wa kwanza kushoto) akiwa na mtoto anaelelewa katika nyumba ya kulelea watoto Mazizini, baada ya kumaliza futari ya pamoja na watoto hao iliyoandaliwa na mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein iliyofanyika jana ndani ya nyumba ya kulelea Watoto Mazizini Mjini Unguja.

No comments:

Post a Comment