Baadhi ya Mafundi mitambo na Watangazaji wa Shirika la Utangazaji Zanzibar ZBC wakiweka mitambo sawa ili kuhakikisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2019/2020 ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar inasikika na kuonekana vizuri kwa Wananchi
No comments:
Post a Comment