Mkurugenzi wa Elimu ya Sekondari wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Bi Asya Iddi Issa (wa kwanza kushoto), akibadilishana mawazo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Riziki Pembe Juma pamoja na Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe Simai Mohammed Said kabla ya kuingia ndani ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Unguja.
No comments:
Post a Comment